NURU YENYE HEKIMA ni blog inayoelezea habari,matukio na mafundisho juu ya dini ya Kiislam ili kuwahabarisha na kuwaelimisha waislamu kuhusu dini yao, na kuwafanya waweze kuishi katika dunia hii kwa salama na amani kabla ya kwenda kwenye maisha ya milele ambayo ni maisha ya Akhera.
Jumatatu, 26 Agosti 2013
UMUHIMU WA MADRASA
Mmoja wa waalimu wa dini ya kiislam akimshukuru Makamu wa pili wa Rais wa serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Maalim Seif Shariff Hamad, wapili kulia wakati wa ufunguzi wa Madrasa Mjini Unguja.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni