Jumatatu, 26 Agosti 2013

UMUHIMU WA MADRASA

Mmoja wa waalimu wa dini ya kiislam akimshukuru Makamu wa pili wa Rais wa serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Maalim Seif Shariff Hamad, wapili kulia wakati wa ufunguzi wa Madrasa Mjini Unguja.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni